Instagram

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, June 15, 2013

Uganda - Tutatoza Ushuru pesa za Mobile

Uganda imetangaza kuweka kodi ya 10% kwa pesa zote zinazotumwa kwa njia ya simu na mbinu zingine za kutuma pesa.
Mganda akipiga simu
Hii itaathiri pesa zinazotumwa na Waganda waishio nchi za ng'ambo. Waziri wa fedha Maria Kiwanuka pia amesema kuwa anapanga kukusanya zaidi ya $16.5m (£10.6) kwa kutoza kodi simu zote za kimataifa kutoka nchini humo.
Bi Kiwanuka alilazimika kutafuta mbinu ya kuziba pengo la $214m katika bajeti ya serikali ya Uganda, baada ya wafadhili kupunguza msaada wao kwa Uganda kufuatia madai ya ufisadi.
Mwandishi wa BBC mjini Kampala , anasema kuwa wengi wanahofia kuwa bajeti hii, iliyosomwa Alhamisi, inawalemea zaidi watu maskini katika jamii.
Waziri Kiwanuka aliambia bunge kuwa zaidi ya $767m zilizokusanywa na serikali mwaka uliopita zilitoka kwa Waganda waishio ngambo.
Kwa mujibu wa gazeti huru nchini Uganda, Daily Monitor, ushuru huo mpya unaotozwa pesa zinazotumwa kwa simu za mkononi utaathiri zaidi ya watumiaji 8.9m wanaotumia mitandao sita ya simu nchini Uganda.

Serikali inahitaji fedha zaidi

Imeripoti pia kuwa serikali inanuia kukusanya takriban $12m kwa mwaka.
Huduma hii ya kutuma pesa kwa njia ya simu ni maarufu sana nchini Uganda ikizingatiwa kuwa raia wengi wa nchi hiyo hawana akaunti za benki.
Huhduma hii hutumiwa kuwatumia jamaa pesa nyumbani au hata kulipia madeni.

Hii bajeti sio juu ya kuweka kodi mpya, ni kukusanya tu kile ambacho hakijachukuliwa kwa muda, alisema waziri huyo.
Kwa upande wake David Holliday, mkurugenzi mtendaji wa wa shirika la mawasiliano la Telecom, kodi hii mpya bila shaka itaongeza gharama ya matumizi ya simu.
'' pesa kwenye simu imekuwa hali ya maisha ya wananchi wetu kwasababu inamaanisha kuwa hawana haja tena ya kubeba pesa taslimu.
Hata wale ambao hawakuweka pesa zao Benki sasa waliweza kuhifadhi kwenye simu zao kwasababu ni rahisi na bei nafuu'' gazeti la Daily monitor limemnukuu.

Naye Bi Kiwanuka anasema kuwa lengo la bajeti hiyo ni kuwanasa wale ambao hukwepa kulipa kodi na kuishinikiza halmashauri ya ukusanyaji ushuru kufikia malengo ya kodi ya serikali kamilifu.
Waziri wa fedha wa Uganda, Maria Kiwanuka






Wachezaji wa Super Eagles wagoma

Wachezaji wa Nigeria wameshindwa kusafiri kuelekea Brazil kufuatia mzozo kuhusu malipo ya ziada ya wachezaji.
Wachezaji wa Nigeria
Timu hiyo ya Super Eagles, inatarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza siku ya Jumatatu, lakini wamesalia nchini Namibia baada ya mechi yao ya kufuzu kwa kombe la Dunia.
Wachezaji wa Nigeria, hawajafurahishwa na uamuzi wa kuwapa dola elfu mbili kila mmoja, baada ya timu hiyo kutoka sare ya kufungana bao moja kwa moja na Namibia mjini Windhoek.
Wachezaji hao wamesisitiza kuwa shirikisho la mchezo wa soka nchini Nigeria ni sharfti iongeze fedha hizo maradufu kabla ya wao kusafiri.
Ripoti zinasema kuwa wachezaji hao wamesema kuwa hawawezi kusafiri kuelekea Brazil hadi mzozo huo utakapotatuliwa.
Kuna wasi wasi kuwa mabingwa hao wa Afrika huenda wakakosa kushiriki katika fainali za kombe la shirikisho, itakayo anza tarehe kumi na tano hadi tarehe thelathini mwezi huu.
Rais wa shirikisho la mchezo wa soka nchini Nigeria NFF, Aminu Maigari, alifanya mazungumzo na wachezaji hao jana usiku mjini Windhoek, kuwaeleza kuwa shirikisho lake halina fedha na ndio sababu malipo hayo ya ziada yalipunguzwa.

Wiki iliyopita, vyombo vya habari nchini Nigeria, viliripoti kuwa wachezaji hao walizozana na maafisa hao wa NFF mjini Nairobi kuhusiana na malipo ya ziada baada ya Super Eagles kuilanza Harambee Stars bao moja kwa bila.
Wachezaji hao walitaka kulipwa dola elfu kumi kila mmoja kufuatia ushindi huo, lakini maafisa hao wa NFF walikataa pendekezo hilo.
NFF ambayo kwa sasa inakabiliwa na matatizo ya kifedha imelazimika kupunguza matumizi yake, likisema lilitumia kiasi kikubwa cha fedha zake katika fainali za kuwania kombe la mataifa ya Afrika iliyoandliwa nchini Afrika Kusini.
Nigeria ilikuwa imetangaza kuwa huenda ikajiondoa kwenye michuano ya kuwania kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaoshiriki ligi ya nyumbani CHAN kutokana na matatizo ya kifedha.
Lakini uamuzi huo ulifutiliwa mbali baada ya serikali ya nchi hiyo kuingilia kati.

Wachezaji hao walitarajiwa kusafiri hadi Johannesburd leo kabla ya kuelekea nchini Brazil.


Kocha wa Nigeria








Watoto 93,000 wameuawa Syria

Umoja wa Mataifa umesema takriban watoto elfu tisini na tatu wameuawa nchini Syria tangu kuanza kwa mapigano nchini humo.
Makaburi ya watu waliouawa nchini Syria
Kwa mujibu wa takwimu hizo, idadi hiyo imeongezeka kwa zaidi ya elfu thelathini, tangu umoja huo ulipotoa takwimu zake Januari mwaka huu.
Ripoti hiyo imesema kuwa watu elfu tano hufa nchini Syria kila mwezi tangu Julai mwaka uliopita
Hata hivyo takwimu hizo huenda sio idadi kamili na Umoja wa Mataifa umesema huenda idadi ya waliouawa huenda ikawa kubwa zaidi, kwa kuwa vifo vingi havijaripotiwa.
Asilimia themanini ya waliouawa ni wanaume, lakini Umoja huo umeongeza kusema kuwa tayari umethibitisha kutokea kwa vifo vya zaidi ya watoto elfu moja mia saba ambao wako chini ya umri wa miaka kumi.
Vile vile, kuna ripoti kuwa watoto wengine waliteswa kabla ya kuuawa kinyama.
Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya haki za binadam Navi Pilllay, amesema wamepokea ripoti ya kutokea kwa mauaji ya familia nyingi wakiwa na watoto wao, ishara kuwa vita vinavyoendelea nchini Syria vimegeuka kuwa janga kuu huku maelfu ya watu wakiendelea kuuawa kila siku.
Wakati huo huo, wanaharakati wa upinzani nchini Syria na shirika la habari la serikali wamesema kuwa makombora yaliyorushwa na wanajeshi wa waasi yameanguka katika uwanja mkuu wa ndege mjini Damascus.
Moja ya makombora hayo yaliyotengenezwa nyumbani, lilianguka karibu na barabara ya kurukia ndege na hivyo kulazimisha safari kadhaa za ndege kucheleweshwa kwa sababu za kiusalama.
Shambulio hilo ndilo la kwanza katika uwanja huo wa ndege ambao kwa sasa umezingirwa na wanajeshi wa serikali.

Fastjet kutoa huduma za bei nafuu

Shirika la ndege, linalotoa huduma za usafiri wa ndege kwa bei nafuu Fastjet, limepata kibali cha kuanzisha safari za ndege za kimataifa za bei nafuu, kutoka Tanzania hadi Afrika Kusini, Zambia na Rwanda.

Ndege ya shirika la EasyJet
Kampuni hiyo inayomilikiwa na Stelios Haji-Ioannou, ambaye ni mmiliki wa shirika la ndege la Easyjet, lililo na makao yake barani ulaya.
Shirika hilo limetangaza kuwa litaanzisha safari za ndege katika mataifa hayo kwa bei nafuu huku abiria wakilipa dola mia moja pekee.
Kwa sasa shirika hilo linahudumia wasafiri nchini Tanzania pekee.
Raia wengi na hasa wafanya biashara wamefurahishwa na tangazo hilo, wakisema kuwa itapunguza gharama za usafiri na hivyo kuimarisha biashara katika kanda hiyo.
Nchini Kenya, shirika la ndege la Kenya Airways ambalo ni moja ya mashirika makubwa ya ndege barani Afrika, limepata pigo kubwa baada ya kupata hasara kubwa katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
Ripoti zinasema kuwa shirika hilo lilipata hasara ya zaidi ya dola milioni mia moja kabla ya kutozwa ushuru, kiwango ambacho ndicho mbaya zaidi tangu mwaka wa 2009.
Shirika hilo lilikuwa maarufu sana kwa abiria wanaosafiri magharibi, mashariki, kusini na katika mataifa ya Afrika ya kati.

Afya ya Mzee Mandela imeimarika

Hali ya Afya ya aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, inaendelea kuimarika.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, amesema kuwa amefahamishwa na madaktari wanaomtibu kuwa, hali ya Mzee Mandela ambaye anaendelea kupokea matibabu katika hospitali moja mjini Pretoria imeimarika.
Mandela amekuwa akiugua maradhi ya mapafu mara kwa mara

Rais Zuma amesema amefurahishwa na jinsi hali ya rais huyo inavyoendelea kuimarika, baada ya kudhohofika sana siku chache zilizopita.
Siku ya Jumanne rais Zuma, alisema kuwa nchi yote inazidi kumwombea Mzee Nelson Mandela ili apate afueni haraka.
Rais huyo wa zamani amelazwa hospitalini Pretoria, ambako anatibiwa maambukizi ya mapafu.
Katika taarifa yake rais Zuma amesema japokuwa Mandela ameathirika sana, madaktari wanaomshughulikia wanafanya kazi nzuri.
Rais huyo mstaafu wa Afrika Kusini, amelazwa hospitalini kwa siku ya tano leo ambako anapokea matibabu ya ugonjwa wa mapafu.
Duru kutoka kwa ofisi ya rais Jacob Zuma, zinasema kuwa Mandela mwenye umri wa miaka 94, yuko katika hali mbaya ingawa imeweza kudhibitiwa.

Familia ya Mandela

Jamaa zake pamoja na aliyekuwa mkewe Winnie Madikizela-Mandela, walimtembelea hospitalini Jumatatu
Mwanawe Mandela Zenani (Mandela-Dlamini), pia alirejea kutoka nchini Argentina, ambako yeye ni balozi.
Serikali imekuwa ikisema kuwa hali ya Mandela inatia wasiwasi ingawa madaktari wameweza kuidhibiti.
Amekuwa katika chumba ya wagonjwa mahututi tangu kulazwa hospitalini Jumamosi kwa mara ya tatu mwaka huu.
Mwezi Disemba , bwana Mandela alilazwa hospitalini kwa siku 18 baada ya kupata maradhi ya mapafu,
Kumekuwa na taarifa za simanzi kwa mara ya kwanza huku familia yake ikikusanyika kando yake, baadhi ya watu wakisema kuwa ni muda wamwache Mandela aende zake.
Bwana Mandela, mwenye umri wa miaka 94, alipelekwa hospitalini mapema Jumamosi , ikiwa ni mara ya tatu kulazwa hospitalini mwaka huu.
Kwa mujibu wa duru za urais, Mandela amekuwa akiugua kwa muda mjini Johannesburg baada ya kukumbwa tena na ugonjwa wa mapafu.
Msemaji wa serikali Mac Maharaj amesema kuwa maafisa katika hospitali wanataka kudhibiti idadi ya watu wanaozuru hospitali hiyo ili wampunguzie bwana Mandela usumbufu.
Alilazwa hospitalini baada ya hali yake kuwa mbaya zaidi mnamo Jumamosi.
Kwa mujibu wa taarifa za urais, Rais Jacob Zuma, amerejelea wito wake kwa watu nchini Afrika Kusini kumuombea Madiba wakati huu anapougua.
Lakini mwandishi wa BBC mjini Pretoria, Karen Allen, anasema kuwa kuna matumaini madogo kuwa Mandela aliyeongoza vita dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi, huenda akapona.
Anasema kuwa wengi walipata matumani baada ya bintiye Mandela Zindzi, kusema kuwa babake yuko salama na kuwa anaendelea kupata nafuu.
risala za heri njema na afueni kwa rais mstaafu Nelson Mandela
Mkewe Mandela Graca Machel, alifutilia mbali, ziara yake mjini London Jumamosi ili kuwa kando ya mumewe.
Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini kati ya mwaka 1994 hadi 1999.
Alifungwa jela miaka 27 na anaaminika kuwahi kuugua ugonjwa wa mapafu alipokuwa akifanyishwa kazi ngumu katika machimbo ya mawe akiwa jela.

Monday, June 10, 2013

AC Milan President Adriano Galliani Adamant Stephan El Shaarawy Will Stay At San Siro

Stephan El Shaarawy
But Italians still want Tevez.
AC Milan president Adriano Galliani has insisted that young striker Stephan El Shaarawy will remain with the club next season, but still hopes that Manchester City forward Carlos Tevez will still head in the opposite direction, Sky Sports reports.
The young Italian had been linked with a switch to the Eithad this summer with the troubled Argentine heading the other way but Galliani has been quick to wave away the speculation by claiming that he still expects 20-year-old to remain at the San Siro.
Former Spurs and Portsmouth midfielder Kevin Prince Boateng has also been tipped to leave the Rossoneri this summer with Chelsea earmarked as a potential destination, however, Galliani believes that neither man will move on over the coming weeks.
“Stephan does not move from AC Milan and we have no offers for Boateng,” Galliani told Italian news source Mediaset.
But he still hopes that Manchester City striker Carlos Tevez will make the switch in the opposite direction and feels that Milan are still in pole position to land his signature despite recent links with Serie A rivals Juventus.
“Tevez is not cheating on me,” he added.
El Shaarawy has bagged 19 goals in 40 games for Milan this season and has struck up an effective partnership with another City old boy, Mario Balotelli.

(Video) Kuwait Women’s National Team Lose 21-0 to Jordan Thanks to Truly Awful Keeper


Jordan Kuwait
Shocking. Clearly the Jordan side were too strong for Kuwait in this Asian Cup qualifier but one has to wonder why they even bothered to field a keeper at all, one would imagine a cardboard cut out would fair better than the Kuwati custodian. Spotted on the always excellent 101 Great Goals.

(Video) Zinedine Zidane Shows Off His Magical Skills During Real Madrid Legends v Juventus Legends Charity Match





Zidane Legends
Still got it! Superb control by the French legend. Spotted on the always brilliant 101 Great Goals.