Instagram

Wednesday, June 5, 2013

BREAKING NEWS! SAID LUBAWA AJIUNGA COASTAL UNIONI.

Klabu ya Coastal Union toka mjini Tanga imeendelea
 kukiboresha kikosi chake baada ya hivi punde kufanikisha
 usajili wa golikipa Said Lubawa kutoka JKT Oljoro.
Lubawa amesaini mkataba wa miaka miwili (2)
 mbele ya makamu mwenyekiti wa timu hiyo
 ndugu Steven Mguto.


 Lubuwa akisaini mkataba wa kujiunga na Coastal Union.

0 comments: