Klabu ya Coastal Union toka mjini Tanga imeendelea
kukiboresha kikosi chake baada ya hivi punde kufanikisha
usajili wa golikipa Said Lubawa kutoka JKT Oljoro.
kukiboresha kikosi chake baada ya hivi punde kufanikisha
usajili wa golikipa Said Lubawa kutoka JKT Oljoro.
mbele ya makamu mwenyekiti wa timu hiyo
ndugu Steven Mguto.
0 comments:
Post a Comment